Sunday 21 August 2016

Nyota Ndogo Offends Fans By Posting Photos Of A Man With A Cut Off Okuafaf. Here is Her Justification

Nyota ndogo is always the subject of interest when it comes to the interwebs. She trends for all the wrong reasons and elicits reactions from both fans and haters a like. This doesn’t faze her.

WHY ALWAYS ME!!! Nyota Ndogo Left Embarrassed And Humiliated After Her Make Up Artiste Did This To Her

She is at it again. This time she is causing an uproar on social media for posting a photo of a man whose nether regions were cut off by an angry wife.

The Watu na Viatu singer defended her actions saying that domestic violence is on the rise and it is a high time media shed some light on the issue.

“Hii picha IPO kila mahali.kila kitu kiko wazi.kwenye ndoa hakuna kuvumiliana.the more mzazi anamwambiA motto vumilia kwa ndoa haya ndio yanakua matokeo,” Nyota said, “We are living [in] hard times love has turned out to be strange hivi kilipiza kisasi sioni kama ndo suluisho la ndo kufana nataka watu waelewe katika ndoa kila mmoja anayo nafasi na ikiwa kuzozana kupo ni muhimu watu kukaa na kusuluhisha.”

The Subira Yangu songstress told one of his fans who asked her why she would post such a gory photo. She replied, “Unless we post this a lot of strange happenings are taking place alot of marriages are facing challenges and everyday in our news you must hear of this cases.the other day a man chopped a woman’s hand coz she never gives birth.
Alot of women or men are facing challenges in marriage in silence (sic).”

Tam Tam! What Nyota Ndogo Said To Her Mzungu Fiance On His Birthday Will Make You Hate Your Love Life

The married singer went ahead to give a narration about what happens in marriages nowadays.

“Ndoa nyingi zimekumbwa na misukosuko na wasanii kama vioo vya jamii lazima tuwe mstari wa mbele kupaza sauti za wanyonge nafahamu hili na hiki ni kitendo cha unyama ikiwa kila mzozo ndani ya ndoa kusuluhisha hivi sioni suluhu ndani ya ndoa wakati umebadilika jamani tusitatue maswala ya ndoa hivi. Sijaweka kupenda ila inaniuma sana kuona wapo wanaoangamia kwenye ndoa za mateso juzi mumejionea mwanamke aliyekatwa mikono maana hazai hivi binadamu tumefikiwa kiwango cha kuhukumu.
Ninae mtoto wa kiume na kama mzazi lazima nikwazike moyo itakuweje? Kuolewa sheria kuzaa ni majaliwa ndoa kuvumiliana kulumbana siku zote kutakuwepo ila namna ya kutatua ikiwa itakuwa hivi inamaana wengi uoga wa kuingia kwenye ndo kutawakabili tizama wapo wengi wanaohofia kuingia kwenye hizi pingu za maisha hivi siri ya ndoa ni ipi?”

Mpasho News



from Lifestyle – Mpasho News http://ift.tt/2bs4ABG
via Mpasho Lifestyle

No comments:

Post a Comment